Thursday, November 26, 2015

DEGREE ZAZIDI KUMIMINIKA KATIKA FAMILIA YA MZEE MUSSA

Tarehe 27 mwezi wa 11 mwaka 2015 mtoto wa kumi kati ya 11 katika familia ya mzee mussa ,Ally Mussa ataungana na wenzake katika siku ya mahafali ya 6 ya chuo kikuu cha dodoma ambapo anahitimu shahada ya awali ya elimu na sanaa,Bachelor of Art with education
Aidha tar 5 mwezi wa kumi na mbili mtoto wa tisa nae jina Mustafa Mussa atavaa joho kuhitimisha kutafuta degree ya awali ya sanaa na elimu, Bachelor of Art with education.

hii ni baada ya kutanguliwa na ndugu zao waliohitimu miaka ya nyuma na juzi tu mmoja ambae ni Zubeda Mussa yeyey alimaliza Phd kabisaaaa katika chuo cha laperanta nchini Finland

karibuni tuungane nakusheherekea sote.

MUSTAFA MUSSA
MALENGA WA KIZIGUA